Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
20 - رمضان - 1435 هـ
17 - 07 - 2014 مـ
10:40 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?18881
ــــــــــــــــــ


ردُّ الإمام المهديّ إلى علي الفرج ضيف طاولة الحوار من قبل الظهور..
Al'Imam Al'Mahdi Amjibu Ali Alfarj Mgeni Wa Meza Ya Mazumgumzo Kabla Ya Kudhihiri..


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Manabi Wote Na Mitume Kutoka Wa Kwanza Wao Mpaka Wa Mwisho Wao Muhammad Mtume Wa Allah Kwa Watu Wote Na Ju Ya Watu Wake Walio Wazuri Walio Twahirika Na Ju Ya Waumini Wote Mpaka Siku Ya Dini, Ama Baada Ya Hapo..

Eee ewe Ali Faraj mgeni wa meza ya mazungumzo katika ma shia athnaasharia kutoka kuwet, Basi mutalipiza kwa nani ju ya ma imamu wa al baiti? Na je mumejua kwamba walio wauwa ma imamu wa kitabu walio teuliwa bado wako hai katika maisha ya dunia miongoni mwa watu wanaruzukiwa? Kwahivo nilekezeni pahala pao hata kama nitatamba kwao kutamba ju ya kaa la moto ikiwa nitaweza ili nilipize kisasi cha ma baba zangu Ali na Alhusein na Alhasan na ma shuhada wa al beiti, Na ikiwa jibu lako ni kua utasema: "Ewe Nasser Muhammad hakika wamekufa walio wauwa ma imamu katika ma umma ishapita zaidi ya miyaka alfu". Kisha tunawacha jibu kwako kutoka kwa Allah moja kwa moja na Anasema:
{Hao ni watu walio kwisha pita. Watapata waliyo yachuma, nanyi mtapata mtakayo yachuma; wala hamtaulizwa nyinyi waliyo kuwa wakiyafanya wao} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:135].
{تِلْكَ أُمَّةٌ قَدْ خَلَتْ لَهَا مَا كَسَبَتْ وَلَكُمْ مَا كَسَبْتُمْ وَلَا تُسْأَلُونَ عَمَّا كَانُوا يَعْمَلُونَ} صدق الله العظيم [البقرة:134].

Yani kwa maana hakika Allah Hato muliza yoyote katika umma wa leo kwa dhambi ya ma umma wale wa kwanza katika mwanzo wa uwislamu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Na mbebaji habebi mzigo wa mwingine} Sadaqa Allah Al3adhim [Fatir:18].
{وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَى} صدق الله العظيم [فاطر:18].

Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Na Mola wako Mlezi hamdhulumu yeyote(49)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf].
{وَلَا يَظْلِمُ رَبُّكَ أَحَدًا ﴿٤٩﴾} صدق الله العظيم [الكهف].

Basi je nyinyi muna huzuni kwajili Allah Ameandika ju ya baadhi ya ma imamu wa kitabu Shahada na Akawainua Kwake wako hai kwa Mola Mlezi wao wanaruzukiwa Akawafanya malakia katika watu wanaruka kwenye mabustani za Neema Ya Pepo? Basi yanini huzuni ju yao na tayari wako kwenye neema kuu na walio wauwa na walio tekelza mauwaji yao wako katika ja7him na adhabu chungu? Kwahivo yanini huzuni ewe mpendwa wangu kwa Allah ju ya ma imamu wa al beit walio kirimiwa? Bali huzuni ni ju ya umma wa leo walio potea kwa njia ilio nyoka; Bali huzuni ni ju ya wale wanao waomba ma imamu wa al beit pasi na Allah na wanaona kua wao wameongoka; Bali huzuni ju ya waumini wa leo wale ambao walio tenga dini yao kua ma jama na ma 7hizbu na kila 7hizbu kwa walio nayo wanafurahia; Bali huzuni ni ju ya waumini wa leo ambao walio tengana ma7hizbu na ma kundi na waka 7halalisha damu zao ju ya baadhi yao kwa wao; Bali 7huzuni ju ya umma wa kislamu wa leo; Waislamu kwa jina wla haikubaki katika uwislamu ila jina na katika Al'Qurani ispo kua mandishi yake ila kidogo; Bali huzuni ni ju ya umma wa kislamu wa leo wale ambao waliweka Al'Quran Al3adhim nyuma ya mingongo yao na wanajiona wako kwa kitu ilhali wao hawako kwa kitu.

Na ewe mpendwa wangu kwa Allah njo nikupe fatwa khusu ma shia na ma sunni, Basi ma shia wanasema kwamba ma sunni hawako kwa kitu, Na ma sunni wasema kwamba ma shia hawako kwa kitu, Lakini wao kwa hakika hawako kwa kitu wote kwakua wame fanya kitabu cha Allah ilio hifadhiwa kutokana na kubadilishwa nyuma ya mingongo yao na waka fungamana kwa yale yanao khalifu muhkam ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim katika bi7har alanwar ama katika kitabu cha bukhari na muslim, Pamoja ya kwamba mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad si kadhibishi yalio ya ukweli katika bi7har alanwar ama katika kitabu cha bukhari na muslim lakini mimi nakadhibisha kwa yale yalio kuja ndani yake ambazo inakhalifu muhkam ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim kama mfano ya akida yenu

katika maombezi ya waja mbele ya Mola Mlezi Anae Abudiwa pamoja ya kwamba sisi twa amini kusongea kwenda mbele ya Allah ili itimu kupatikane maombezi kwenye Nafsi Ya Allah wala sio kombeleza kwa Allah kwa waja wake. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Nao, badala ya Mwenyezi Mungu, wanaabudu wasio wadhuru wala kuwanufaisha, na wanasema: Hawa ndio waombezi wetu kwa Mwenyezi Mungu! Sema: Je! Mnamwambia Mwenyezi Mungu asiyo yajua ya katika mbingu wala katika ardhi? Subhanahu wa Taa'la! Ametakasika na ametukuka na hao wanao mshirikisha naye(18)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus].
{وَيَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ مَا لا يَضُرُّهُمْ وَلا يَنْفَعُهُمْ وَيَقُولُونَ هَؤُلاءِ شُفَعَاؤُنَا عِنْدَ اللَّهِ قُلْ أَتُنَبِّئُونَ اللَّهَ بِمَا لا يَعْلَمُ فِي السَّمَوَاتِ وَلا فِي الأَرْضِ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [يونس:18].

Basi musitaraji maombezi ya waja kwa waja mbele ya Mola Mlezi Anae Abudiwa hakika mimi kwenu kutoka kwake ni monyajo baini kwa Al'Quran Al3adhim kama alivo waonya babu yangu Muhammad Mtume wa Allah kabla. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Na waonye kwayo wanao ogopa kuwa watakusanywa kwa Mola wao Mlezi, hali kuwa hawana mlinzi wala mwombezi isipo kuwa Yeye, ili wapate kuchamngu(51)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam].
{وَأَنذِرْ بِهِ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَن يُحْشَرُوا إِلَىٰ رَبِّهِمْ ۙ لَيْسَ لَهُم مِّن دُونِهِ وَلِيٌّ وَلَا شَفِيعٌ لَّعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ (51)} صدق الله العظيم [الأنعام].

Na ewe mpemdwa wangu kwa Allah, Hakika ya ma imamu wa kitabu hawasiki mwito wenu wakati munapo waita kwenye makaburi yao na lau wangesikia maombi yenu hawange wajibuni na siku ya kiyama watakufuru kwa ushirikina wenu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikia hawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikina wenu. Na hapana atakaye kupa khabari vilivyo kama Yeye Mwenye khabari(14)} Sadaqa Allah Al3adhim [Fater].
{إِن تَدْعُوهُمْ لَا يَسْمَعُوا دُعَاءكُمْ وَلَوْ سَمِعُوا مَا اسْتَجَابُوا لَكُمْ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكْفُرُونَ بِشِرْكِكُمْ وَلَا يُنَبِّئُكَ مِثْلُ خَبِيرٍ (14)} صدق الله العظيم [فاطر]

Na ewe mpendwa wangu kwa Allah Ali Al Faraj, Wallahi Ambae Hapana Mola Ispo Kua Yeye hakika ya wale wanaomba ma imamu wa al beit ili wawaombeze kuwashufaia wao kwa Mola Mlezi wao hakika wao wame Mshirikisha Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu na vitendo vao vimeanguka ispo kua Atakae Rehemewa na Mola Mlezi wangu na akaja na moyo ulio salimika kutokana na shirki kwa Allah; Hakika Ya Shirki ni dhulma kuu, Basi kua katika wanao shukuru ewe burudisho la macho Fa Wallahi Ambae Hapana Mola Ispokua Yeye hakika ya ma Nabi wote na ma imamu wa kitabu watakanusha akida yenu batili mbele ya Allah na watajitoa kutokana na ushirikina wenu na watakanusha kwa tamko la ulimi moja kwamba wao hawa kuwapa fatwa kwa akida hi ya batili nayo kua muwaombe wao pasi na Allah, Na hakika Allah Atawauliza suali hilo kwa ma imamu wa kitabu ili musikie jibu kwenye ilimu ya ghaibu. Akasema Allah Ta3ala:
{Na siku atakapo wakusanya wao na hao wanao waabudu, na akasema: Je! Ni nyinyi mlio wapoteza waja wangu hawa, au wao wenyewe walipotea njia(17) Watasema: Subhanak, Umetakasika na upungufu! Haikutupasia sisi kuchukulia walinzi badala yako, lakini Wewe uliwastarehesha wao na baba zao hata wakasahau kukumbuka, na wakawa watu walio angamia (18) Basi walikukanusheni kwa mliyo yasema. Kwa hivyo hamwezi kujiondolea wala kujisaidia. Na atakaye dhulumu miongoni mwenu tutamwonjesha adhabu kubwa (19)} Sadqa Alalh Al3adhim [Alfurqan].
{وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ وَمَا يَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَقُولُ أَأَنتُمْ أَضْلَلْتُمْ عِبَادِي هَٰؤُلَاءِ أَمْ هُمْ ضَلُّوا السَّبِيلَ (17) قَالُوا سُبْحَانَكَ مَا كَانَ يَنبَغِي لَنَا أَن نَّتَّخِذَ مِن دُونِكَ مِنْ أَوْلِيَاءَ وَلَٰكِن مَّتَّعْتَهُمْ وَآبَاءَهُمْ حَتَّىٰ نَسُوا الذِّكْرَ وَكَانُوا قَوْمًا بُورًا (18) فَقَدْ كَذَّبُوكُم بِمَا تَقُولُونَ فَمَا تَسْتَطِيعُونَ صَرْفًا وَلَا نَصْرًا ۚ وَمَن يَظْلِم مِّنكُمْ نُذِقْهُ عَذَابًا كَبِيرًا(19)} صدق الله العظيم [الفرقان].

Na ewe Ali Alfaraj, Hakika mimi kwako ni mwenye kunasihi mwaminifu basi kua ni kati
ka wanao shukuru pindi Amekadiria Allah kuweko kwako katika zama za kutumilizwa Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad ili awatowe nyinyi katika kiza kwenda kwa mwangaza, Na kua katika wanao shukuru pindi ame kuhususisha Al'Iama Al'Mahdi kwa hi Bayana baini rahma kwako ama Anataka Allah kusmamisha hoja ju yako kwa haki basi Akuadhibu adhabu kuu, Basi mumbe msamaha Allah hakika ya Allah kwa waja Wake ni Mrahimu ispo kua anae kata tama kutokana na Rehema ya Mola Mlezi wake akaidhulumu nafsi yake dhulma kuu kwa kukata tama kutokana na Rahma ya Allah Mwenye Huruma Kuliko Wenye Hutuma Wote.

Na hakika mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani aula kuliko wewe kwa ma baba zangu Al'Imam Alhusein na Ali basi hakika sitolipiza kisasi kwao kwa mtu yoyote katika dunia kwa dhulma, Na najilinda kwa Allah nisiwe katika ma dhalimu na wanao fanya israfu katika ku uwa, Basi njoni ili niwatoweni kutoka kwa ma kiza kwenda kwa mwangaza kwa Bayana ya haki ya Al'Quran Al'Majid ndio niwaongoze nayo kwa njia ya Al3aziz Al'Hamid.

Na Slama Ju Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
Ndugu Yenu; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
___________

اقتباس المشاركة 151375 من موضوع ردُّ الإمام المهديّ إلى علي الفرج ضيف طاولة الحوار من قبل الظهور..

https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=151370

الإمام ناصر محمد اليماني
20 - رمضان - 1435 هـ
17 - 07 - 2014 مـ
10:40 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
ــــــــــــــــــ


ردُّ الإمام المهديّ إلى علي الفرج ضيف طاولة الحوار من قبل الظهور
..


بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على كافة الأنبياء والمرسلين من أوّلهم إلى خاتمهم محمد رسول الله إلى الناس أجمعين وعلى آله الطيّبين الطاهرين وعلى جميع المؤمنين في كل زمانٍ ومكانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد..

أيا علي الفرج ضيف طاولة الحوار من الشيعة الاثني عشر من الكويت، فمِمَنْ ستثأرون لأئمة آل بيتي؟ فهل علمتم أنّ قتلة أئمة الكتاب المصطفين لا يزالون أحياءً في الحياة الدنيا بين الناس يرزقون؟ إذاً فدلُّوني على مكانهم ولو حبوت لهم حبواً على الجمر إن استطعت لكي آخذ بثأر أبتي الإمام علي والحسين والحسن وشهداء آل بيتي. وإن كان جوابك هو أن تقول: "يا ناصر محمد قد ماتَ قتلة الأئمة في أممٍ قد خلت منذ أكثر من ألف سنة". فمن ثم نترك الردّ عليك من الله مباشرةً ويقول:
{تِلْكَ أُمَّةٌ قَدْ خَلَتْ لَهَا مَا كَسَبَتْ وَلَكُمْ مَا كَسَبْتُمْ وَلَا تُسْأَلُونَ عَمَّا كَانُوا يَعْمَلُونَ} صدق الله العظيم [البقرة:134].

بمعنى أنّ الله لن يحاسب أحداً من أمّة اليوم بذنب تلك الأمم الأولى في فجر الإسلام. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَى} صدق الله العظيم [فاطر:18].

وتصديقاً لقول الله تعالى:
{وَلَا يَظْلِمُ رَبُّكَ أَحَدًا ﴿٤٩﴾} صدق الله العظيم [الكهف].

فهل أنتم محزونون لأّن الله كتب لبعض أئمة آل البيت الشهادة ورفعهم إليه أحياءً عند ربّهم يرزقون فجعلهم ملائكةً من البشر يطيرون في رياض نعيم الجنّة؟ فلمَ الحزن عليهم وقد صاروا في النّعيم العظيم وقَتَلَتُهم ومن والاهم على قتلِهم في الجحيم والعذاب الأليم؟ إذاً لمَ الحزن حبيبي في الله على أئمة آل البيت المكرمين؟ بل الحزن هو على أمّة اليوم الضالين عن الصراط المستقيم؛ بل الحزن هو على الذين يدْعون أئمة آل البيت من دون الله ويحسبون أنّهم مهتدون؛ بل الحزن هو على المؤمنين اليوم الذين فرّقوا دينهم شيعاً وأحزاباً وكل حزبٍ بما لديهم فرحون؛ بل الحزن هو على المؤمنين اليوم الذين تفرّقوا إلى أحزابٍ وطوائفَ واستحلّوا دماء بعضهم البعض؛ بل الحزن هو على أمَّة الإسلام اليوم؛ مسلمون بالاسم ولم يبقَ من الإسلام إلا اسمه ومن القرآن إلا رسمه إلا قليلاً؛ بل الحزن هو على أمّة الإسلام اليوم الذين جعلوا القرآن العظيم وراء ظهورهم ويحسبون أنهم على شيء وهم ليسوا على شيءٍ.

ويا حبيبي في الله تعال لنفتيك في الشيعة والسُّنة، فالشيعة يقولون ليس أهل السُّنة على شيءٍ، وأهل السُّنة يقولون ليست الشيعة على شيءٍ، ولكنهما في الحقيقة هما ليسا على شيءٍ كليهما لكونهم جعلوا كتاب الله المحفوظ من التحريف وراء ظهورهم واعتصموا بما يخالف لمحكم القرآن العظيم في بحار الأنوار أو في كتاب البخاري ومسلم، برغم أنّي الإمام المهديّ ناصر محمد لا أكذب بالحقّ في بحار الأنوار أو في كتاب البخاري ومسلم ولكنّي مُكذِّبٌ بما جاء فيهما مخالفاً لمحكم القرآن العظيم كمثل عقيدتكم في شفاعة العبيد بين يدي الربّ المعبود برغم أنّنا نؤمن بالتّقدم بين يدي الله لتحقيق الشفاعة في نفس الله وليس للشفاعة عند الله لعبيده. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَيَعْبُدُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ مَا لا يَضُرُّهُمْ وَلا يَنْفَعُهُمْ وَيَقُولُونَ هَؤُلاءِ شُفَعَاؤُنَا عِنْدَ اللَّهِ قُلْ أَتُنَبِّئُونَ اللَّهَ بِمَا لا يَعْلَمُ فِي السَّمَوَاتِ وَلا فِي الأَرْضِ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [يونس:18].

فلا ترجوا شفاعة العبيد للعبيد بين يدي الربّ المعبود إنّي لكم منه نذيرٌ مبينٌ بالقرآن العظيم كما أنذرَكم به جديّ محمدٌ رسول الله من قبل. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَأَنذِرْ بِهِ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَن يُحْشَرُوا إِلَىٰ رَبِّهِمْ ۙ لَيْسَ لَهُم مِّن دُونِهِ وَلِيٌّ وَلَا شَفِيعٌ لَّعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ (51)} صدق الله العظيم [الأنعام].

ويا حبيبي في الله، إنّ أئمة الكتاب لا يسمعون نداءكم حين تنادونهم من جانب قبورهم ولو سمعوا دعاءكم ما استجابوا لكم ويوم القيامة يكفرون بشرككم. تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِن تَدْعُوهُمْ لَا يَسْمَعُوا دُعَاءكُمْ وَلَوْ سَمِعُوا مَا اسْتَجَابُوا لَكُمْ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكْفُرُونَ بِشِرْكِكُمْ وَلَا يُنَبِّئُكَ مِثْلُ خَبِيرٍ (14)} صدق الله العظيم [فاطر].

ويا حبيبي في الله علي الفرج، والله الذي لا إله غيره إنّ الذين يدعون أئمة آل البيت ليشفعوا لهم عند ربّهم فإنّهم قد أشركوا بالله ربّ العالمين وحبط عملهم إلا من رحم ربّي وجاء بقلبٍ سليمٍ من الشرك بالله؛ إنّ الشرك لظلمٌ عظيمٌ، فكن من الشاكرين يا قرة العين فوالله الذي لا إله غيره إنّ جميع الأنبياء وأئمة الكتاب سوف ينكرون عقيدتكم الباطلة بين يدي الله ويتبرّأون من شرككم وينفون بمنطق لسانٍ واحدٍ أنّهم أفتوكم بهذه العقيدة الباطلة وهي أن تدعوهم من دون الله، ولسوف يوجِّه الله السؤال إلى أئمة الكتاب لتسمعوا ما الجواب في علم الغيب. وقال الله تعالى:
{وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ وَمَا يَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَقُولُ أَأَنتُمْ أَضْلَلْتُمْ عِبَادِي هَٰؤُلَاءِ أَمْ هُمْ ضَلُّوا السَّبِيلَ (17) قَالُوا سُبْحَانَكَ مَا كَانَ يَنبَغِي لَنَا أَن نَّتَّخِذَ مِن دُونِكَ مِنْ أَوْلِيَاءَ وَلَٰكِن مَّتَّعْتَهُمْ وَآبَاءَهُمْ حَتَّىٰ نَسُوا الذِّكْرَ وَكَانُوا قَوْمًا بُورًا (18) فَقَدْ كَذَّبُوكُم بِمَا تَقُولُونَ فَمَا تَسْتَطِيعُونَ صَرْفًا وَلَا نَصْرًا ۚ وَمَن يَظْلِم مِّنكُمْ نُذِقْهُ عَذَابًا كَبِيرًا(19)} صدق الله العظيم [الفرقان].

ويا علي الفرج، إني لك ناصحٌ أمينٌ فكن من الشاكرين إذ قدَّر الله وجودك في عصر بعث الإمام المهديّ المنتظر ناصر محمد ليخرجكم من الظلمات إلى النور، وكن من الشاكرين إذ قدَّر الله عثورك على دعوة الإمام المهديّ في عصر الحوار من قبل الظهور، وكن من الشاكرين إذ خصَّك الإمام المهديّ بهذا البيان المبين رحمةً لك أو يريد الله أن يقيم عليك الحجّة بالحقّ فيعذبك عذاباً عظيماً، فاستغفر الله إن الله كان بعباده رحيماً إلا من يئس من رحمة ربّه وظلم نفسه ظلماً عظيماً باليأس من رحمة الله أرحم الراحمين.

وأنا الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أولى منكم بأبتي الإمام الحسين وعليّ فلن أثأر لهما من أحدٍ على وجه الأرض ظلماً، وأعوذ بالله أن أكون من الظالمين المسرفين في القتل، فتعالوا لنخرجكم من الظلمات إلى النور بالبيان الحقّ للقرآن المجيد فنهديكم به إلى صراط العزيز الحميد.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
_______________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..