Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
16 - ربيع الثاني - 1440 هـ
23 - 12 - 2018 مـ
05:58 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ili kufwatilia cha bayana asili]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=36489

ــــــــــــــــــــــــ


خليفة الله المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني يتخذ قرار الحرب ضدّ عدوّ الله الشيطان دونالد ترامب ..
Khalifa Wa Allah Al'Mahdi Al'Mnutadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Anatoa Uwamuzi Wa Vita Dhidi Ya Aduwi Wa Allah Shetani Donald Tramp..


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim Al'Wahid Al'Qahar Munusura Wa Mja Wake Na Khalifa Wake Katika Ardhi Nasser Muhammad Al'Yamani, Na Sala Na Salam Ju Ya Wote Ma Nabi Wa Allah Wa Haki Kutoka Wakwanza Wao Mpaka Wamweisho Wao Muhammad Mtume Wa Allah Kwa Al'Quran Al3adhim Kwa Watu Wote Na Ju Ya Walio Wafwata Katika Kila Zama Na Pahali Mpaka Siku Ya Dini, Ama Baada Ya Hapo..


Enyi Ma3ashara Ya viongozi Wa Waislamu Warabu na waajemi hio ukumbusho wa mwisho kwa Amri Ya Allah katika zama za kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar, Na mutapata Amri Ya Allah kwa ma hizbu zote waumini ambao wanauwana baina yao kwamba waingie kwenye uwislamu kikamilifu, Basi ama mutekeleze amri Ya Allah enye viongozi wa waislamu ama ataondosha Allah kwenu ufalme wenu na Awaadhibu adhabu chungu kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا ادْخُلُوا فِي السِّلْمِ كَافَّةً وَلَا تَتَّبِعُوا خُطُوَاتِ الشَّيْطَانِ ۚ إِنَّهُ لَكُمْ عَدُوٌّ مُّبِينٌ ﴿٢٠٨﴾ فَإِن زَلَلْتُم مِّن بَعْدِ مَا جَاءَتْكُمُ الْبَيِّنَاتُ فَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ ﴿٢٠٩﴾} صدق الله العظيم [البقرة].
Allah Ta3ala Asema: { Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi (108) Na ikiwa mkateleza baada ya kukufikieni hoja zilizo wazi, basi jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima (109)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqra].


Na kwa hakika tume'watangazia kabla hajapokea shetani Tramp uwongozi wa Amerika kwamba yeye ni mfwasi wa shetani ibilisi na kwamba yeye ni katika wenye shari zaidi katika mashetani binadamu na yeye ni aduwi mkubwa wa Allah na wa waislamu wote warabu wao na maajami wao, Na aduwi wa makristo ispokua alie kua kama yeye anaonesha kwamba yeye ni mkristo na yeye ni aduwi wao kwa ndani ya jambo, Kama Viel yeye ni aduwi wa waislamu wote, Na hivo hivo aduwi wa binadamu wale ambao sio katika ma shetani binadamu, Na imebainika kwa walimwengu na waislamu kwamba yeye ni shetani mwenye shari wala hataki utukufu katika ardhi ispokua kwa ma wali wake katika ma shetani binadamu peke, Na imebainika kwa waislamu wote kwamba Donald Tramp kweli ni shetani aduwi wa waislamu, Na kwamba yeye kweli anataka kuwadhuufisha kwa vita vao baina yao alafu atangaze vita va kiulimwengu ju yao ili awatawale awauwe kuwauwa alafu abadilishe viongozi kwa viongozi wa kisahyuni wametekeleza mbinu zake ili waokoke na shari lake basi haikuzidisha hio ju yao ispokua amezidi kujizatiti na tama na vitimbi, Atawale mashariki ya kati mwanzo ili apate nguvu kwa kheri zake ju ya wengine katika ma taifa za ulimwengu adhalilishe waislamu.


Na imebainika kwa kila mwislamu ameona Bayana za Nasser Muhammad Al'Yamani kwamba yeye kweli ni katika wakweli na hakumdhulumu Tramp kitu, Na hivo hivo nimeapa Qasam Billah Al3adhim kwa mwenye uku wa kifalme Muhammad bin Suleman kua Donald Tramp ni aduwi wake na kwa familia yake na raia wa kiarabu wa'kisudi na kwa ma taifa zote za kiarabu kwa daraja ya kwanza, Na imebainika kwa Muhammad bin Suleman kwamba Pembe ya shetani Donald Tramp kweli ni aduwi mkuu wa ufalme wa kiarabu sudia,
Na ewe Muhammad bin Suleman na kiasi gani ulmpa mamilyari Jizia ili kulinda kwa Tramp na yeye ananunuwa nazo silaha ya israil ili kupiga ufalme wa kiarabu sudia na inchi za galf na Yemen, Na akakudanganya? Na anataka kutekeleza itimu kupatikane msemo wake ambao mash'huri ambao alisema kupitia chanel ya anga kwa walimwengu kwamba saudia ni ngombe anaetowa maziwa basi ikiwa hatowi tena maziwa basi atamchinja! Basi vipi utamsadiki kwa yale alio kuahidi nayo baada alipo sema msemo wake a


mbao ni mash'huri ambao ghera ikamwingia nayo kila moyo ambao ni wa kiarabu? Na kabla imetangulia ni kakuapia wewe katika Bayna ya kawaida kwa wote kabla haijabainika kwenu vitimbi vake kwamba yeye hatokutimizia yale alio kuahidi; Bali yule ambae atakutimizia kwa haki ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ukitubia kwa Mola Mlezi Wako na ukawa ni mwenye kushukuru, Na pamoja yalio tokea kutoka kwako kutokana na kubomoa Yaman nakwambia Wewe: Wala Sio Raisi Wa Watu anabeba chuki ukiwa utamfwata Al'Imam Al'Mahdi Khalifa Wa Allah katika Ardhi na wote ma amiri wa inchi za galf, Basi Wallahi sitowazidisha ispokua utukufu, Na mujuwe kwamba utukufu ni Wa Allah na Atakae Mfwata wala sio ya ma aduwi wa Allah, Na wala sitopokonya kwa yoyote wenu ufalme wake ispokua Allah awaondoshe kwenu kwa adhabu kutoka kwake, Basi kuweni ni katika wa kushukuru kwakuogopa adhabu ya Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu Atawazidisha Allah utukufu ju ya utukufu wenu, Na mukikufuru mutenda kujua kwamba adhabu ya Allah ni ya nguvu na mutakhasirika duniani na akhera ispokua alio rehemewa na Mola Mlezi Wangu kati yenu.


Ama bado haijaja kwako kunisadiki na nchi za galf na nchi za kiarabu? Lakini mimi ni Khalifa wa Allah Al'Mahdi wala sio mimi shetani Tramp ambae aliwadanganya inchi za galf zote; Bali ni Khalifa Wa Allah Al'Mahdi Al'Muntadhar ambae ni mkweli kwa yale alio ahidi na mwenye kujilazimu na amri ya Mola Mlezi Wake mukishukuru na mukafwata mlinganizi wa haki kutoka kwa Mola Mlezi Wenu basi mutashinda kwa utukufu wa dunia na akhera na Atawaghufuria yale yalio pita, Na hivo hivo nawakumbusha na viongozi wote wa waumini kwa kauli ya Allah Ta3ala:
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا مَا لَكُمْ إِذَا قِيلَ لَكُمُ انفِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ اثَّاقَلْتُمْ إِلَى الْأَرْضِ ۚ أَرَضِيتُم بِالْحَيَاةِ الدُّنْيَا مِنَ الْآخِرَةِ ۚ فَمَا مَتَاعُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا فِي الْآخِرَةِ إِلَّا قَلِيلٌ ﴿٣٨﴾إِلَّا تَنفِرُوا يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًا وَيَسْتَبْدِلْ قَوْمًا غَيْرَكُمْ وَلَا تَضُرُّوهُ شَيْئًا ۗ وَاللَّـهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ ﴿٣٩﴾} صدق الله العظيم
[التوبة]
Allah Ta3ala Asema: { Enyi mlio amini! Hakika washirikina ni najsi, kwa hivyo wasiukaribie Msikiti Mtakatifu baada ya mwaka wao huu. Na ikiwa mnakhofia umasikini, basi Mwenyezi Mungu atakutajirisheni kwa fadhila yake akipenda. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua Mwenye hikima ( 28) Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii (29)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altoba].
Na wala sidhani hi Aya inahitaji kutafsiriwa.


Na Namhadharisha kila kiongozi mwislamu wale wenye kutoa mamuzi katila mataifa ya waislamu kutokana na ukaidi na kuasi Amri Ya Allah Kuto itikia na kuingia katika uwislamu nyote ili niongoze majeshi yenu kupigana na aduwi wa Allah na aduwi wenu na ma askari wake, Na wala musiogope kutokana na uwezo wake wa kitakniko na mutaenda kuona ajabu ya maajabu, Na mutaenda kujua nani ambae dhaifu wa kunusuriwa na idadi ndogo.


Enye Ma3ashara ya waislamu hakika nyinyi munajua kwamba Allah Anamtumiliza Al'Imam Al'Mahdi Kwenye kina cha khitilafu zenu na wala si khitilafu za kifikihi peke; Bali munauwana Nyinyi kwa nyinyi, Na eee ajabu kwa ku'uwana umma wa kati walio beba ujumbe kwa walimwengu baadhi yenu kwa baadhi! Subhana Ametukuka Mwenye ujuzi wa ghaibu!! Na nimewajieni kwa kadara ili niwarudishe kwa mnhaj njia ya Unabi wa mwanzo kwa Nuru ya uwongofu wa Bayana ya kweli ya Al'Quran Al3adhim, Basi jee nyinyi waislamu? Na mujuwe kwamba mimi ni Khalifa wa Allah Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Amenitumiliza Allah ili kufanya safu moja ya waumini ili kulinda nafsi zao kutokana na mbinu ya ufisadi ya mayahudi ili kusipatikane kutimu Taifa la kisahyuni kuu kwa ma aduwi wenu wale ambao wanataka kumaliza uwislamu na waislamu, Na mukikata basi nasema ngojeni na mimi nagoja pamoja na wanao ngoja, Na hapana na wala Hato'wapatanisha Allah yale baina yenu na nyinyi kwa haki munakanusha,


Na mwisho Ya Bayana Yangu


hi mimi niko tayari kwa kupigana na yule atakae kupigana na mimi kutokana ma hizbu zote..


Na hapana na wala hatomtukia na kuwa na chuki na Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani ispokua yule alio ghadhibiwa na Allah ju yake kama mfano wa sultan alqadasi - ukimbebesha anahema na ukimwacha anahema - Na Swaleh, Na wala bado tunamgoja kwenye sehemu yake; Je atasubutu kuja kwa mazungumzo? Lakini panya ni panya na je yawezekana kwa panya apigane na simba? Basi ikiwa wewe ni simba basi njo kwenye sehemu yako ambao hustahiki tukufungulie wewe sehemu hususi yako kwa jina lako na wewe asili sio mwanachuoni, Lakini imetubidi kukufungulia kwa sababu ya kbwekabweka kwako na Swaleh Albukhiti kwenye idhaa ya dhirar, Basi wacheni kubweka na miongoni mwenu wahishimiwa wanawaongoza nyinyi pamoja yakua wao wamepotea na wanapoteza, Na wale wako na sisi bado wanazali wako kwenye upotevu ulio wazi na wanaficha uhakika kwa walimwengu na wao wajua kwamba Nasser Muhammad ni katika wakweli.


Na ewe Abdulmalik Al'Hawuthi Wallahi lau wameuliwa wale kumi na moja wale ambao amesema kwao Yusuf Ju Yake Sala Na Salam Bali nyinyi ni washari na Allah ni Msaidizi kwa yale munao yasema kwahivo ingechganyika Ndoto ya Yusuf Ju Yake Sala Na Salam, Kwajili lau angekufa moja wao basi haingekua ni Sayari kumi na moja, Lakini je umeona moja ya wale ambao imewahusu kutimu ile ndoto amekufa ama amekufa jua na mwezi? Basi jibu liko kwa kitabu: Hatokufa moja wao yoyote mpaka Amsadikishe Allah Nabi Wake Yusuf Ile ndoto kwa haki kwenye waki wa hakika, Na hivo hivo Khalifa Wa Allah Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani basi haitakiwi kwa Kiongozi Ali Abdallah Swaleh kwamba auliwe mpaka Amsadikishe Allah Ndoto ya Al'Imam Al'Mahdi Kwa Haki, Na siku baina yetu enye munao ficha ushuhuda, Hivi hamumogopi Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu kwakua yeye ni katika alama za kusadikisha kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani? Na nani dhalimu kuliko alie ficha kwake ushuhuda kutoka kwa Allah? Na hukumu ni ya Allah , Na hakika Amri Ya Allah Ni Qadara ilio Kadiriwa.


Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين ..
خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .
__________


اقتباس المشاركة 299941 من موضوع خليفة الله المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني يتخذ قرار الحرب ضدّ عدوّ الله الشيطان دونالد ترامب ..

الإمام ناصر محمد اليماني
16 - ربيع الثاني - 1440 هـ
23 - 12 - 2018 مـ
05:58 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركـة الأصليّة للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=299932
ــــــــــــــــــــــــ


خليفة الله المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني يتخذ قرار الحرب ضدّ عدوّ الله الشيطان دونالد ترامب ..

بسم الله الرحمن الرحيم الواحد القهّار الناصر لعبده وخليفته في الأرض ناصر محمد اليماني، والصلاة والسلام على كافة أنبياء الله الحقّ من أوّلهم إلى خاتمهم محمد رسول الله بالقرآن العظيم إلى الناس كافةً وعلى من والاهم في كلّ زمانٍ ومكانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد..

يا معشر قادة المسلمين العرب والعجم إليكم التذكير الأخير بأمر الله في عصر بعث المهديّ المنتظَر، وتجدون أمر الله إلى كافة أحزاب المؤمنين المقتتلين فيما بينهم أن يدخلوا في السّلم كافةً، فإمّا أن تنفذوا أمر الله يا قادة المسلمين أو ينزع الله منكم ملككم ويعذّبكم عذاباً أليماً تصديقاً لقول الله تعالى: {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا ادْخُلُوا فِي السِّلْمِ كَافَّةً وَلَا تَتَّبِعُوا خُطُوَاتِ الشَّيْطَانِ ۚ إِنَّهُ لَكُمْ عَدُوٌّ مُّبِينٌ ﴿٢٠٨﴾ فَإِن زَلَلْتُم مِّن بَعْدِ مَا جَاءَتْكُمُ الْبَيِّنَاتُ فَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ ﴿٢٠٩﴾} صدق الله العظيم [البقرة].

وقد أعلنّا لكم من قبل أن يتسلم الشيطان ترامب قيادة أمريكا أنه موالي الشيطان إبليس وأنه من أشرّ شياطين البشر وأنّه عدوٌّ لدودٌ لله وللمسلمين كافةً عربيّهم وأعجميّهم، وعدوٌّ للنصارى إلا من كان على شاكلته يُظهر النّصرانية وهو عدوٌّ لهم باطن الأمر، كما هو عدوٌّ للمسلمين كافةً، وكذلك عدوٌّ للبشر الذين ليسوا من شياطين البشر، وتبيّن للعالمين والمسلمين أنه شيطانٌ أشِر ولا يريد العزّة في الأرض إلا لأوليائه من شياطين البشر فقط، وتبيّن للمسلمين أجمعين أنّ دونالد ترامب حقّاً شيطانٌ عدوٌّ للمسلمين، وأنه حقّاً يريد إضعافهم بحربهم فيما بينهم ثم يعلن الحرب العالميّة عليهم ليحتلّهم ويقتّلهم تقتيلاً ويستبدل قيادات صهاينة نفذت خططه للاكتفاء من شرّه فلم يزْدَدْ عليهم إلا تمرداً وطمعاً ومكراً،
ويحتل الشرق الأوسط أولاً ليستقوي بخيراته على الآخرين من دول العالم ويذلّ المسلمين.

وتبيّن لكلّ مسلمٍ مُطّلع على بيانات ناصر محمد اليماني أنه حقاً لمن الصادقين ولم يظلم ترامب شيئاً، وكذلك أقسمتُ بالله العظيم لصاحب السمو الملكي محمد بن سلمان أن دونالد ترامب عدوٌّ له ولأسرته وللشعب العربيّ السعوديّ ولكافة الشعوب العربيّة بالدرجة الأولى، وتبيّن لمحمد بن سلمان أنّ قرن الشيطان دونالد ترامب حقاً ألدّ أعداء المملكة العربيّة السعوديّة. ويا محمد بن سلمان لكم أعطيت من المليارات جزية الحماية لترامب وهو يشتري بها أسلحةً لإسرائيل لضرب المملكة العربيّة السعوديّة ودول الخليج واليمن، وخدعك!
ويريد أن يحقق مقولته الشهيرة التي قالها عبر القناة الفضائيّة للعالمين أنّ السعوديّة بقرةٌ حلوب وإذا لم تعد تدرّ لبناً يقوم بذبحها! فكيف تصدقه بما وعدك بعد أن سمعتم قوله هذا الذي أغار منه كلّ قلب عربي؟ وسبق وأن أقسمتُ لك في بيانٍ عام من قبل أن يتبيّن لكم غدره أنه لن يفيك بما وعدك؛ بل الذي سوف يفيك بالحقّ هو الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني لئن تبتَ إلى ربك وكنت من الشاكرين، وبرغم ما حدث منك من تدمير اليمن نقول: وليس رئيس القوم من يحمل الحقد لئن اتّبعت الإمام المهديّ خليفة الله في الأرض وكافةُ أمراء دول الخليج، فوالله لن نزيدكم إلا عزّا، واعلموا أنّ العزّة لله ولمن والاه وليست لأعداء الله، ولن أنزع من أيّكم ملكَه إلا أن ينزعه الله منكم بعذابٍ من عنده، فكونوا من الشاكرين خوفاً من عذاب الله ربّ العالمين فيزدكم الله عزّاً إلى عزّكم، ولئن كفرتم فسوف تعلمون أنّ عذاب الله شديدٌ وتخسرون الدنيا والآخرة إلا من رحم ربي منكم.

أما آن الأوان لك أن تصدقني ودول الخليج والدول العربيّة؟ ولكني خليفة الله المهديّ ولست الشيطان ترامب الذي خدع دول الخليج أجمعين؛ بل خليفة الله المهديّ المنتظَر الصادق بما وعد والملتزم بأمر ربه لئن شكرتم واتّبعتم داعي الحقّ من ربّكم فتفوزوا بعزّ الدنيا والآخرة ويغفر لكم ما سلف، وكذلك نذكّركم وجميع قادات المؤمنين بقول الله تعالى: {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا مَا لَكُمْ إِذَا قِيلَ لَكُمُ انفِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ اثَّاقَلْتُمْ إِلَى الْأَرْضِ ۚ أَرَضِيتُم بِالْحَيَاةِ الدُّنْيَا مِنَ الْآخِرَةِ ۚ فَمَا مَتَاعُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا فِي الْآخِرَةِ إِلَّا قَلِيلٌ ﴿٣٨إِلَّا تَنفِرُوا يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًا وَيَسْتَبْدِلْ قَوْمًا غَيْرَكُمْ وَلَا تَضُرُّوهُ شَيْئًا ۗ وَاللَّـهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ ﴿٣٩﴾} صدق الله العظيم [التوبة]، ولا أظنّ هذه الآية تحتاج إلى تأويلٍ.

وأحذّر كلّ زعيمٍ مسلمٍ من أصحاب صنّاع القرار في دول المسلمين من التمرد وعصيان أمر الله بعدم الاستجابة والدخول في السّلم كافةً لنقود جيوشكم لقتال عدوّ الله وعدوّكم وجنده، ولا تخافوا من قدرته التقنيّة ولسوف ترون من الله عجبَ العجاب، ولسوف تعلمون من أضعف ناصراً وأقلّ عدداً.

ويا معشر المسلمين إنكم لتعلمون أنّ الله يبعث الإمام المهديّ في أوج اختلافكم ولم يعد اختلافاً فقهيّاً فحسب؛ بل تقتلون بعضكم بعضاً، ويا للعجب يقتل أحزاب الأمّة الوسطى حملة الرسالة للعالمين بعضكم بعضاً! سبحان علام الغيوب!! وجئتكم على قدرٍ لنعيدكم لمنهاج النبوّة الأولى بنور هدى البيان الحقّ للقرآن العظيم، فهل أنتم مسلمون؟ فاعلموا أني خليفة الله المهديّ ناصر محمد ابتعثني الله لتوحيد صفّ المؤمنين للدفاع عن أنفسهم من تخطيط فساد اليهود لعدم تحقيق الدولة الصهيونيّة الكبرى لأعدائكم الذين يريدون القضاء على الإسلام والمسلمين، وإن أبيتم فأقول انتظروا إني معكم من المنتظرين، ولا ولن يوفق الله ما بينكم وأنتم عن الحقّ معرضون.

وختام بياني هذا أنا جاهزٌ لقتال من أراد قتالي من كافة الأحزاب والدول ...

ولا ولن يَكره ويحقد على الإمام ناصر محمد اليماني إلا من غضب الله عليه كمثل سلطان القَدَسي - إن تحمل عليه يلهث وإن تتركه يلهث - وصالح، ولا نزال منتظرينه في قسمه؛ هل يجرؤ للحوار؟ ولكن الفأر فارٌ فهل يمكن للفأر أن يصارع الأسد؟ فإن كنت أسداً فتعال إلى قسمك الذي لا تستحق أن نفتحه لك قسماً خاصاً باسمك وأنت أصلاً لست عالماً، ولكن الذي أجبرنا نباحُك وصالح البخيتي في قناة ضِرار، فاتركوا النباح وفيكم محترمون يلومونكم برغم أنهم ضالون مضلّون، ومن لدينا لا يزالون على ضلالٍ مبينِ ويخفون الحقيقة على العالمين وهم يعلمون أنّ ناصر محمد لمن الصادقين.

ويا عبد الملك الحوثي والله لو قُتل أحدُ العشرة الذين قال لهم يوسف عليه الصلاة والسلام بل أنتم أشرّ مكاناً والله المستعان على ما تصفون إذاً لاختلت رؤيا يوسف عليه الصلاة والسلام، لأنه لو مات أحدهم فلن يعودوا أحد عشر كوكباً، ولكن هل وجدت أحداً ممن خصتهم تحقيق الرؤيا مات أو مات الشمس والقمر؟ فالجواب في الكتاب: لم يمت منهم أحدٌ حتى أصدق الله نبيّه يوسف الرؤيا بالحقّ على الواقع الحقيقي، وكذلك خليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني فلا ينبغي للزعيم علي عبد الله صالح أن يُقتل حتى يصدق الله رؤيا الإمام المهديّ بالحقّ، والأيام بيننا يا كاتمي الشهادة، ألا تخافون الله ربّ العالمين كونه من آيات التصديق للمهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني؟ ومن أظلم ممن كتم شهادة عنده من الله؟ والحكم لله، وكان أمر الله قدراً مقدوراً.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين ..
خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .
_______________


اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..