Lakini Swala Mbali Na Zilio Faridhiwa Ni Swala Za Nafli..

14 - 09 - 1431 هـ
24 - 08 - 2010 مـ
07:42 صباحاً
ــــــــــــــــ
Kifurushi Cha Bayana
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?2101-%
Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Swala Na Salam Juu Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Rabil Alamin..
Ndugu Mkarimu Akubariki Allah, Na Hakuna Katika Kitabu Swala Yaitwa Swala Ya Dhu7ha Bali Ni Swala Ya Nafli, Wala Haikuwekwa Kwa Wakatin Malum, Bali Wakati Umejianda Nafsi Yako Kwa Hilo Jambo Na Hakuna Shughuli Itashughulisha Akili Yako Na Kazi Ambao Unataka Kufanya, Na Ukawa Na Wakati Wa Faragha Basi Hapo Umekua Umejianda Kinafsi Kusmamisha Swala Ya Nafli Ya Kujitolea, Nayo Ni Kulingana Na Wakati Wa Faragha Kwako Kwajili Hio Sio Swala Ya Faradhi Kwa Wakati Malum Bali Ni Ya Kujitolea Kulingana Na Wakati Wa Faragha Yako Ndio Alafu Unataka Kulekea Kwa Mola Mlezi Wako, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَإِذَا فَرَغْتَ فَانصَبْ ﴿7﴾ وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَارْغَب ﴿8﴾} صدق الله العظيم [الشرح].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na Ukipata Faragha Fanya Usmame (7) Na Mola Mlezi Wako Ndio Umshughulikie (8)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alsharh].

Ispokua Nafli Ya Usiku Kunafikiwa Zaidi Na Moyo Katika Upweke Wako Na Mola Mlezi Wako Ili Umdhukuru Jina La Mola Wako Mlezi Na Ujitole Kwake Kikamilifu, Na Hivo Hivo Mchana Waweza Kumsabeh Kwa Wingi Wakati Wa Faragha Yako, Ama Kuweka Nafli Kwa Wakati Malum Lakini Sijapata Hayo Katika Kitabu Cha Allah Nayo Ni Bid3a Kwakua Mimi Sijapata Wakati Wa Swala Ya Nafli Ni Wakati Malum Katika Muhakam Ilio Wazi Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim.


Na Salam Juu Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Ndugu Yenu; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.