الإمام ناصر محمد اليماني
13 - 05 - 2009 مـ

12:32 صباحاً
ــــــــــــــ

Mawuidha Kwa Ndugu'Yangu Uqda Basi Usizidishe Uqda Ju Ya Mm Al'Shi3a Na Al'Sunna

Bisimillahi Al'Rahman Al'Rahim, Na Salam Kwa Mitume Na Al'Hamdulillah Rabil Al3alamin..
Ndugu Yangu Mkarimu Uqda,Twataraji Usizidishe Mambo Kuakidi Zaidi Baina Ya Ma Al'Sunna Na Al'Shi3a Hakika Sisi Tunataka Kuwafanya Mandugu Katika Dini Ya Allah Na Tuwaunganishe Nyonyo Zao Ba'Ada Walikuwa Maduwi Wawe Kwa Ni3ma Ya Mola Mlezi Wao Mandugu,Na Hivo hivo Na'Waita Madhehebu zote Na Mapoti Yote Yakislamu Katika Wale Wanao'Tenganisha Dini Yao Kuwa Ujama Na Kila Chama Kwa Waliyo Nayo Wanafurahia Na Mukakhalifu Amri Ya Allah Al'Muhkam Katika Kauli Yake Allah Ta3ala:
قول الله تعالى:
{وَلَا تَنَازَعُوا فَتَفْشَلُوا وَتَذْهَبَ رِيحُكُمْ}
صدق الله العظيم [الأنفال:٤٦]
Allah Ta3ala Asema:
{Na Wala Musigombane Mu'Shindwe Iondoke Nguvu Zenu}Sadaqa Allah Al3adhim[Al'Anfal:46]

Lakini Nyinyi Mumegombana Mukashindwa Alafu Ikaondoka Nguvu Yenu Kama Hivi Hali Yenu Mulivo Wakawa Ma'Aduwi Zenu Kwenye Nguvu Na Kugawanya Kwenye Dini Yenu Na Wanawaotea Ndio Wawafanye Muchinjane Badhi Yenu Ju Ya Badhi Hivi Hamumchi Allah?

Na Enyi Ma3ashara Alshi3a Na Al'Sunna Na Wote Waislamu Na Watu Wote,Hakika Mimi Nahadharisha Watu Kutokana Na Adhabu Ya Allah Kwa Wanao Kadhibisha Kwa Ulinganizi Wa Haki Na Itafanyika Kwenye Tarehe 8 Mwezi Apreil 2005 Siku Ya Ijuma Siku Ya Kuzaliwa Hilal Ya Rabiu'Alawal Al'Muwafiq 1426,Na Labda Mutastajabu Na Vipi Utasema Hivi Na Tayari Ishapita Siku Ya Juma Tarehe 8 2005 Almuwafiq 1426,Alafu Niwarudishe Ju Yao Jibu:Mimi Hakika Najuwa Kutoka Kwa Allah Yale Musoyajuwa Na Imibaki Katika Siku Ya Juma 2005 (Masa Tisa 9)Kuanzia Siku Hio Na Bado Muko Kwenye Siku Hio Kulingana Na Hisabu Ya Tarehe Ya Siku Ya Sayari Ingine Na Iko Karibu Kuisha Hizo Masaa Ziliyo Bakia Na Nyinyi Hamujuwi,Na Imibaki Kwa Wa'adi Ya Adhabu Miyezi Minne Kutoka Mwaka Wa Baraa Kujibari'Isha Kutoka Kwa Allah Na Mtume Wake Siku Ya Hijatul'Wada3 Kwa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam,Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{فَسِيحُوا فِي الْأَرْضِ أَرْبَعَةَ أَشْهُرٍ وَاعْلَمُوا أَنَّكُمْ غَيْرُ مُعْجِزِي اللَّهِ وَأَنَّ اللَّهَ مُخْزِي الْكَافِرِينَ}
صدق الله العظيم [التوبة:٢]
Allah Ta3ala Asema:
{Basi tembeeni katika nchi miezi mine, na jueni kwamba nyinyi hamwezi kumshinda Mwenyezi Mungu, na kwamba Mwenyezi Mungu ndiye anaye wahizi makafiri}Sadaqa Allah Al3adhim[Altawuba:2]

Na Haijabakia ila Masa Kidogo Yaishe Kulingana Masaa Ya Sayari Inaojulikana,Na Sitaki Niwajulishe Kwa Siku Ya Mawuid Ya Adhabu Kulingana Na Siku Yenu Kwajili Nyinyi Mutasubirisha Kuamini Kwa Haki Mpaka Muone Adhabu Inao Umiza Kama Mfano Wa Wale Waliyosema
كمثل الذين:
{قَالُوا اللَّهُمَّ إِنْ كَانَ هَٰذَا هُوَ الحقّ مِنْ عِنْدِكَ فَأَمْطِرْ عَلَيْنَا حِجَارَةً مِنَ السَّمَاءِ أَوِ ائْتِنَا بعذابٍ أليمٍ}
صدق الله العظيم [الأنفال:٣٢]
Allah Ta3ala Asema:{Na walipo sema: Ee Mwenyezi Mungu! Ikiwa haya ni kweli itokayo kwako basi tunyeshee mawe kutoka mbinguni, au tuletee adhabu yoyote iliyo chungu}Sadaqa Allah Al3Dhim[Al'Anfal:32]


Hivi Basi Nisi'Wajulishe Kwa Kauli Mzuri Kuliko Hiyo Na Bora Ya Kauli? Nayo Ni Useme Ee Mola Mlezi Wangu Ikiwa Hi Ndio Haki Kutoka Kwako Basi Tuhidishe Nayo Na Utujalie Ni Katika Al'Sabiqina Waliotangulia Kwenye Njiya Iliyo Nyoka Kabla Hatuja'Dhalilika Na Tukapata Heze Hakika Wewe Ni Mwingi Wa Msamaha Mwingi Wa Huruma,Ee Mwenyzi Mungu Hatuna Twajuwalo ila Yale Uliyo Tujulisha Hakika Wewe Ni Mwenye Iza Mwingi Wa Hikma,Ee Mwenyezi Mungu Hakika Sisi Tunaidhinisha Jambo Letu Kwako Na Kwako Twalekea Ili Utongoze Kwenye Haki Wala Ba'Ada Ya Haki Ispokuwa Ni Upotevu Na Wewe Ni Mrahimu Wa Warahimu.

Na Enyi Ma3ashara Ya Alsunna Na Al'Shi3a Na Baki Ya Madhehebu Zote Ya Kislamu, Mimi Nashuhudia Kuwa Hapana Mola Apasae Kuabudiwa Kwa Haki Ispokuwa Allah,Na Nashuhudia Kuwa Muhammad Ni Mtume Wa Allah Sala Na Salamu Ju Yake Na Ahli Yake,Na Nashuhudia Kuwa Mimi Ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Mola Mlezi Wenu Ambae Anawaongoza Kwenye Haki Ba'Ada Nyinyi Kupotea Kutoka Kwa Haki,Na Ahukumu Baina Yenu Kwa Yale Muliyokuwa Muki'Ikhtalifiyana Ndani Yake Na Atawafanya Safu Moja Na Atakusanya Allah Kwa Njiya Yake mgawanyiko Wenu Ndio Itakapo kuwa Na Nguvu Mgongo Wenu Ndipo Itakuwa Iza Ni Yenu Katika Ardhi Kwa Haki Ndio Muhukumu Kwa Yale Aliyo Teremsha Allah Na Wala Musidhulumu Watu Kitu,Basi Mcheni Allah Na Mumfwate Mlinganizi Wa Haki Al'Imam Al'Mahdi Yule Ambae Anawaita Kuwahukumu Kwa Kitabu Cha Allah Kwa Yale Mulikuwa Munaikhtalifiyana Ndani Yake Tayari Amefanya Allah Kitabu Chake Kina Hukmu Kwa Yale Muna'Ikhtalifiyana. Ndani Yake Kama Vile Amefanya Ndani Yake Kuna Hukmu Ya Wana Wa Israil Kwa Yale Waliyo Kuwa Waki'Ikhtalifiyana Ndani Yake,Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِنَّ هَٰذَا القرآن يَقُصُّ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ أَكْثَرَ الَّذِي هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ}
صدق الله العظيم [النمل:٧٦]
Allah Ta3ala Asema:{Hakika Hi Al'Quran Inawa'Sisimuliya Ju Ya Wana Wa Israil Zaidi Yale Wanayo Ikhtalifiyana Ndani Yake}Sadaqa Allah Al3adhim[Alnaml:76].

Na Alafu Akawalingania Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Ili Ahukumu Baina Yao Kwa Yale Waliyo Kuwa Waki'Ikhtalifiyana Ndani Yake Anaistinbat Aitowa Kwa Undani Hukumu Yake Kutoka Hukmu Za Allah Katika Kitabu Al'Quran Al3adhim Alafu Wakakanusha Ulinganizi Wa Kuhukumu Poti La Ahlulkitab Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُوا نَصِيبًا مِنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَىٰ كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِنْهُمْ وَهُمْ معرضونَ}
صدق الله العظيم [آل‌عمران:٢٣]
Allah Ta3ala Asema:{Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa}Sadaqa Allah Al3adhim[Al'imran:23].

Hivo Kwajili Ya Ahlu'Aliktab Kabla Yenu Alikuja Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Na Wao Wametengana Katika Dini Yao Kuwa Majama Na Kila Chama Kwa Waliyo Nayo Wanafurahiya Na Hawakuwa Tena Katika Minhaj Ya Manabi Wao Na Ma Ansar Wao Wamwanzo Lakini Walikata Kwa Ulinganizi Wa Kuhukumiwa Kwa Kitabu Cha Allah Kama Vile Munavo Ona Katika Kitabu Nass Al'Quran Al3adhim:
{أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُوا نَصِيبًا مِنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَىٰ كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِنْهُمْ وَهُمْ معرضونَ}
صدق الله العظيم [آل‌عمران:٢٣]
Allah Ta3ala Asema:{Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa}Sadaqa Allah Al3adhim[Al'imran:23].


Na Hawo Nyinyi Mumikuwa Kama Wao Enyi Ma3ashara Ya Waislamu Na Mumitenganisha Dini Yenu Ujama Na Kila Chama Kwa Yale Waliyo Nayo Wanafurahia,Na Huyo Ndiye Al'Mahdi Al'Muntadhar Anawaita Kwenye Kitabu Cha Allah Ili Awahukumu Baina Yenu Mara Hawo Nyinyi Kwa Mlinganizi Kwa Kitabu Cha Allah Munageuka Mukafanya Allah Ju Yenu Utawala Ndio Awadhibu Allah pamoja Na Makafiri Kwa Al'Quran Al3adhim Ispokuwa Atake Mola Mlezi Wangu Kitu Imetosheleza Upana Wake Mola Mlezi Wangu Rahma Na Ilmu Basi Hivi Hata Hamushukuru?

Na Enyi Ma3ashara Ya Wanazuoni Wa Umma Wa Kislamu Wale Ambao Wametenga Dini Yao Ujama Na Wanalani Badhi Yao Ju Ya Badhi Na Kutemeana Mate Badhi Yao Ju Ya Badhi,Nawauliza Na Munijibu Na Je Kwani Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Nyinyi Munae Mngoja Ni Nabi Ama Ni Mtume? Na Yajulikana Jawambu lenu Hakika Khatim Al'Anbiya Na Al'Mursalin Naye Ni Al'Nabi Al'Umiyi Ambae Ni Mwaminifu MuhammD Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wasalam,Kwa Hivo Ee Kaumu Atamtumiliza Allah Al'iMam Al'Mahdi"Nasseran Li Muhamad"Mnasiri Wa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam-Yani Atakuja Awalinganie Kwa Yale Aliyo Kuja Nayo Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Salam,Na Huyo Hapo Al'Imam Al'Mahdi(Nasser Muhammad) Mbele Yenu Na Natowa Qasam Billah Al3adhim Kwa Yule Aliyo Nitumilza Kwenu Kwa Haki Lau Watakusanyika Wote Wanazuoni Wenu Enyi Ma3ashara Waliyo Tenganisha Dhini Yao Kwa Ujama Wa Mwanzo Wao Na Wamwisho Wao Kwenye Meza Moja Nitawahukumu Kwa Haki Mpaka Wasipate Kwenye Vifuwa Vao Kejeli Kwa Yale Niliyo Wahukumu Baina Yao Na Wajisalimu Kujisalimu,Lakink Meza Ipi Hio Ya Mazungumzo Itatosha Kwa Wanazuoni Wa Kislamu Na Waki'Nanassara Na Wakiyhudi Wote Ispokuwa Meza Ya Mazungumzo Ya Walimwemgu(Tuvoti Ya Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani)Kwa Intarnet Ya Kilimwengu Waje Wahukumiwe Kwa Yale Wanao Ikhtalifiyana Ndani Yake Mpaka Wasione Wale Wanataka Haki Kati Yao Kejeli Katika Nafsi Zao Wajisalimu Kujisalimu kuwa Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani Ni Kweli Haki Yeye Ndio Al'Mahdi Al'Muntadhar Al'Mawu3ud Ambae Allah Ataongoza Kwa Njiya Yake Watu Wote Atawafanya Kwa Idhni Ya Allah Umma Moja Kwenye Njiya Iliyo Nyoka Njiya Ya Al3aziz Al'Hamid.

Na Enye Ma3ashara Al'Shi3a Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Ambae Anahukumu Kwa Haki Na Anaongoza Kwa Njiya Iliyo Nyoka Mukaziwa Na Mukasema Njiya Iliyo Nyoka Nayo Ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Muhammad Ibnu Al'Hasan Alaskari Pamoja Yakuwa Mashi3a Ni zaidi Katika Ma'Madhehebh Kuzungumzia Al'Imam Al'Mahdi Lakini Wanaweka Uzushi Katikati Ya Haki Ili Iyambatane Na Hawa Zao,Na Mtafiti Mku Kuhusu Al'Imam Al'Mahdi Katika Wanazuoni Wa Kislamu(Ni Al'Shekh Ali Alkawurani Al'Arabi Al3alami)Kutoka Muda Mrefu Na Anayo Haki Na Batil Uzushi Katika Mapokezi Na Ba'Adhi Ya Mapokizi Ya Haki Wanazidhosha Ju Yake Wanazuwoni Wa Kishi3a Uzushi Wa Wazi Uliyo bainika,Pamoja Yakuwa Mimi Sipendi Kujadili Kuhusu Mapokezi Kwajili Wao Watategemea Kwa Zile Batil Na Nyingi Zao Ni Batili Uzushi Lakini Mimi Sina Budi Ila Nitalekeza Kwa Ma3ashara Ya Mashi3a Suali:
Je Al'Imam Al'Mahdi Muhammad Ibnu Al'Hasan Al'askari Ambae Nyinyi Munae Mbgoja Yeye Ndio Njiya Iliyo Nyoka Ambayo Anayo Lingania Al'Yamani Ambae Nyinyi Munamtambuwa Kuwa Bendera Yake Ndio Ina'Uongofu Kuliko Zote Na Mumikiri Kuwa Yeye Al'Yamani Anaongoza Kwa Njiya Iliyo Nyoka Alafu Mukafanya Njiya Iliyo Nyoka Ni Alimam Almahdi Muhammad Ibnu Alhasan Alaskari??.
Na Mukatowa Fatwa Kwa Mapokezi Ya Haki Ambayo Inawapa Fatwa Kuhusu Al'Yamani Kuwa Yeye Analingania Haki Na Njiya Iliyo Nyoka Na Njiya iliyo Nyoka Ni Kulekea Kwa Allah Wala Sio Ya Muhammad Ibnu Al'Hasan Alaskari Basi Hivi Hamumchi Allah Alasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ رُوحًا مِنْ أَمْرِنَا مَا كُنْتَ تَدْرِي مَا الْكِتَابُ وَلَا الْإِيمَانُ وَلَٰكِنْ جَعَلْنَاهُ نُورًا نَهْدِي بِهِ مَنْ نَشَاءُ مِنْ عِبَادِنَا وَإِنَّكَ لَتَهْدِي إِلَىٰ صِرَاطٍ مستقيم}
صدق الله العظيم [الشورى:٥٢]
Allah Ta3ala Asema:{Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa amri yetu. Ulikuwa hujui Kitabu ni nini, wala Imani. Lakini tumekifanya kuwa ni Nuru ambayo kwayo tunammwongoa tumtakaye katika waja wetu. Na hakika wewe unaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka}Sadaqa Allah Al3adhim[Alshura:52].

Na Lakini Hi Njiya Iliyo Nyoka Ambayo Amelinganiya Ju Yake Muhammad Mtume Wa Allah-Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam-Nyao Ni Njiya Iliyo Nyoka Kulekea Kwa Allah Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{يَا أهل الْكِتَابِ قَدْ جَاءَكُمْ رَسُولُنَا يُبَيِّنُ لَكُمْ كَثِيرًا مِمَّا كُنْتُمْ تُخْفُونَ مِنَ الْكِتَابِ وَيَعْفُو عَنْ كَثِيرٍ ۚ قَدْ جَاءَكُمْ مِنَ اللَّهِ نُورٌ وَكِتَابٌ مبين ﴿١٥﴾ يَهْدِي بِهِ اللَّهُ مَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَهُ سُبُلَ السَّلَامِ وَيُخْرِجُهُمْ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النّور بِإِذْنِهِ وَيَهْدِيهِمْ إِلَىٰ صِرَاطٍ مستقيم ﴿١٦﴾}
صدق الله العظيم [المائدة]
Allah Ta3ala Assma:{Enyi Watu wa Kitabu! Amekwisha kujieni Mtume wetu anaye kufichulieni mengi mliyo kuwa mkiyaficha katika Kitabu, na anaye samehe mengi. Bila shaka imekujieni kutoka kwa Mwenyezi Mungu nuru na Kitabu kinacho bainisha(15)Mwenyezi Mungu huwaongoa wenye kufuata radhi yake katika njia za salama, na huwatoa katika giza kuwapeleka kwenye nuru kwa amri yake, na huwaongoa kwenye njia iliyo nyooka(16)}Sadaqa Allah Al3adhim[AlMaida]

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{وَهَٰذَا صِرَاطُ ربّك مستقيما قَدْ فَصَّلْنَا الْآيات لِقَوْمٍ يَذَّكَّرُونَ}
صدق الله العظيم [الأنعام:١٢٦]
Allah Ta3ala Asema:{Na Hi njiya Ya Mola Mlezi Wako Iliyo'Nyoka Tumizifafanuwa Aya Zetu Kwa Kaumu Wanakumbuka}Sadaqa Allah Al3adhim[Alan3am:126].

Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى:
{وَكَيْفَ تَكْفُرُونَ وَأَنْتُمْ تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ آيات اللَّهِ وَفِيكُمْ رَسُولُهُ وَمَنْ يَعْتَصِمْ بِاللَّهِ فَقَدْ هُدِيَ إِلَىٰ صِرَاطٍ مستقيم}
صدق الله العظيم [آل‌عمران:١٠١]
allah Ta3ala Asema:{Na Vipi Mutakufurh Na Nyinyi Munasomewa Ju Yenu Aya Za Allah Na Yuko Na Nyinyi Mtume Wake Na Ambae Atashikamana Na Allah Basi Ameongozwa Njiya Iliyo Nyoka}Sadaqa Allah Al3adhim[Alimran:101].

Kwahivo Njiya Iliyo Nyoka Ni Njiya Kulekea Kwa Allah Wala Sio Njiya Ya Kwenda Kwa Mhuammad Ibnu Al'Hasan Al'Askari Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{ذَٰلِكَ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ ۚ قَوْلَ الحقّ الَّذِي فِيهِ يَمْتَرُونَ ﴿٣٤﴾ مَا كَانَ لِلَّهِ أَنْ يَتَّخِذَ مِنْ وَلَدٍ ۖ سبحانهُ ۚ إِذَا قَضَىٰ أَمْرًا فَإِنَّمَا يَقُولُ له كُنْ فَيَكُونُ ﴿٣٥﴾ وَإِنَّ اللَّهَ ربّي وَربّكم فَاعْبُدُوهُ ۚ هَٰذَا صِرَاطٌ مستقيم ﴿٣٦﴾}
صدق الله العظيم [مريم]
Allah Ta3ala Asema:{Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka(34)Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa(35)Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka(36)}Sadaqa Allah Al3adhim[Maryam].

Kwahivo Njiya Iliyo Nyoka Ni Njiya Ya Al3aziz Al'Hamid Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَلَمْ أَعْهَدْ إِلَيْكُمْ يَا بَنِي آدَمَ أَنْ لَا تَعْبُدُوا الشَّيْطَانَ ۖ إِنَّهُ لَكُمْ عَدُوٌّ مبين ﴿٦٠﴾ وَأَنِ اعْبُدُونِي ۚ هَٰذَا صِرَاطٌ مستقيم ﴿٦١﴾}
صدق الله العظيم [يس]
Allah Ta3ala Asema:{Kwani Sikuwanidi Kwenu Enyi Wana Wa Adam Kuwa Musimwabudu Shetani Yeye Hakika Kwenu Ni Aduwi Aliyo Wazi(10)Na Kuwa Muniabudu Mimi Hi Ndil Njiya Iliyo Nyoka(11)}Sadaqa Allah Al3adhim[Yasin]

Kwahivo Njiya Iliyo Nyoka Ni Njiya Ya Allah Na Siyo Njiya Ya Muhammad Ibnu Alhasan Alaskari,Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{الر كِتَابٌ أَنْزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النّاس مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النّور بِإِذْنِ ربّهم إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ}
صدق الله العظيم [إبراهيم:١]
Allah Ta3ala Asema:{Alif Lam Ra. (A.L.R.) Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa(1)}Sdaqa Allah Al3adhim[Ibrahim].

Na Lakini Nyinyi Enyi Ma3ashara Ya Mashi3a Mumejuwa Kuwa Al'Yamani Analingania Njiya Iliyo Nyoka
Na Alafu Imekuja Kwenye Mapokezi Uzushi Mkubwa Mukasema Ile Njiya Iliyo Nyoka Ambayo Anailinganiya Ju Yake Al'Yamani Ndio Ni Swahibu Wenu Alimam Almahdi Muhammad Ibnu Alhasan Alaskarani Subhana Allah Al3adhim Basi Hivi Hamumogopi Allah?Hivi Hamuoni Kuwa Yeye Al'Yamani Anaongoza Kwa Njiya Iliyo Nyoka Njiya Ya Mwenye Nguvu Msifiwa?Basi Hamumshukuru
Allah Enye Nduguzangu Wanazuoni Wa Ma Alshi3a Na Al'Suna Kuwa Amewajaliya Allah Katika Zama Za Al'Mahdi Al'Muntadhar Awaongoze Kwenye Njiya Iliyo Nyoka Njiya Ya Mwenye Nguvu Msifiwa,Na Vile vile Wanazuoni Wa Alshi3a Wanajuwa Kuwa Al'Imam Al'Mahdi Atatokezea Yemen Lakini Wamekosea Katika Kijiji Bila Ya Haki,Al'Muhim Kuwa Wanajuwa Al'Imam Al'Mahdi Atatoka Yemen Na Kudhihirika Kwenye Nyumba Ya Zamani Na ju Yao Ni Shekh Ali Alkawarani Alami Ambae Anawapa Fatwa Kwa Hayo Kulingana Na Mapokezi Waliyonayo Wao Na Alafu Munakanusha Kuwa Al'Yamani Yeye Dhati Yake Ndiye Al'Imam Al'Mahdi ! Basi Hivi Hamumchi Allah?Pamoja Yakuwa Mumijuwa Kuwa Al'Yamani Analingania Katika Sirat Al'Musaqim Lakini Mumesema Kuwa Al'Sirat
Al'Mustaqim Njiya Iliyo Nyoka Ni Swahibu Wenu Muhammad Ibnu Alhasan Alaskari Na Subhana Allah Rabi Al3alamin Na Nani Huyo Ambae Amewapa Ruhusa Enyi Ma3ashara Ya Mashi3a Muchaguwe Khalifa Wa Allah Al'Imam Al'Mahdi Ambae Haimpasi Hata Kwa Jibril Na Malaika Wa Allah Waliyo Karibu
Kuchaguwa Khalifa Wa Allah Katika Duniya Alafu Munasubutu Nyinyi Ma3ashara Alshi3a Kuchaguwa Al'Imam Al'Mahdi Khalifa Wa Allah Katika Ardhi?Basi Nani Atawaokowa Kutokana Na Hasira Za Allah Zilyo Na Nguvu Enyi Wale Waliyo Ingilia Katika Utenda Kazi Wa Allah Mukachaguwa Khalifa Wake,

Na Hivo Hivo Nyinyi Eni Ma3ashara Ya Alsuna Mumi'Mharamisha Al'Imam Al'Mahdi Kuwa Ajitabuloshe Kwenu Na Kuwa Nyinyi Ndio Mwamjuwa Baina Yenu Ndio Mumchaguwe Kwenye Wakati Wake Na Mutajuwaje Kuwa Ni Wakati Wake Na Zama Zake Katika Zama Za Kukurubiya Sayari Ya Moto Hivi Hamuwe Wachamungu ?Na Mutajuwaje Kwa Huyo Mwanamume Kuwa Yeye Ndio Al'Mahdi Allah Aliyo Chaguliwa Mfalme Na Kiongozi Na Imamu Awalingania Katika Njiya Iliyo Nyoka Njiya Ya Mwenye Nguvu Msifiwa Pindi Hakujitambulisha Kwa Jambo Lake Kwenu Awalinganie Ili Awahukumu Kwa Yale Munai Ikhtalifiyana Baina Yenu? Na Ikiwa Yeye Ndio Al'Imam Al'Mahdi Khalifa Wa Allah Ambae Amichaguliwa Na Allah Ju Yenu Basi Ni Haki Ju Ya Allah Ampe Ilmu Ya Alkitabu Mpaka Awalinganie Kwenye Kitabu Cha Allah Ili Ahwahukumu Baina Yenu Kwa Yale Muna Ikhtalifiyana Ndani Yake Na Huyo Ndiye Al'Mam Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Mola Wenu Mlezi,

Na Nawapa Onyo Al'Shi3a Wale Ambao Wanaipa Nguvu Kikundi Cha Mahuti Katika Yemen Onyo Kubwa basi Wamipitisha Mipaka Katika Taifa Na Wamimwaga Damu Za Waja Na Wamezidhisha Ufisadi Kwenye Ardhi Na Wala Siye Alhuthi Ndio Mwenye Thawura Ya Ukombozi Wa umoja Wa Wa'Yemen Pamoja Yakuwa Mimi Simpendi Ali Abdallah Sawaleh Al'Yamani Na Mimi Nina Ghadhabu Nae Lakini Mimi Natowa Qasam Kwa Allah Mola Mlezi Wa Mbingu Na Kiliyomo Baina Yao Mola Mlezi Wa Arshi Kuu Kuwa Yeye Ndio Al'Yamani kiongozi Wa Althawura Ya Umoja Wa Wa'Yemeni Ambao Itafanyika Katika Zama Za Kudhihirika Moja Katika Alama Ya Zama Za Kuwa Yuko Al'Imam Al'Mahdi,Basi Mumche Allah Enyi Mahuti Kwa Ku'Uwa Wa'Yemeni,Na Natowa Qasam Billah Al3adhim Kuwa Hamu'Kuwazidishia Raiya Wa Yemeni ispokuwa Dhulma Zaidi Na Mwenye Kuwapa Nguvu Basi Amipata Ghadhabu Za Allah Ju Ya Ghadhabu Na Vipi Na Nyinyi Mwamwaga Damu Ya Waislamu Katika Manjiya Na wao Ni Watoto Wa Taifa Lenu Imiwabidi Maisha Magumu Wamijiunga Na Jeshi Kwa Mshahara Mdogo Na Haikuwa Kwenu Ispokuwa Mutawauwa Mutakae Mpata Na Nyinyi Munawzea Kuwauwa Katika Manjiya Basi Hamumchi Allah?

Na Nawaonya Wana Wa Taifa La Yemeni Kujiunga Na Kipoti Cha Mahthi Nacho Hakiko Katika Haki,Na Natowa Qasam Billah Al3adhim Hatopata Ushindi Mahuti Ju Ya Al'Yamani Kiongozi Wa Thawura Ya Ukombozi Wa Umoja Ya Wayemeni Hata Kama Watasaidiwa Na Inchi Zote Za Kishiya Katika Ulimwengu Hivi Haiwatoshi Mazigatio Kuwa Wamisaidiyana Mataifa Ya Jirani Katika Inchi Za Ki Khaliji Dhidi Ya Thawura Ya Ukombozi Ya Umoja Wa Wayemeni Wakashindwa Na Akibuka Mshindi Al'Yamani Ali Abdallah Swaleh Ju Ya Wapingaji Wa Umoja Wa Yemen Kusi Na Bado Anaendelea Kupigana Kwajili Ya Kubaki Kwake Hivo mpaka Amem'Dhihirisha Allah Kwa Yemen Yote Na Ikafaulu Jukumu Lake Na Wala Hakufaulu Ispokuwa Hiyo Nayo Ni Haraka Ya Umoja Wa Wayemeni Katika Zama Za Mazungumzo Kabla Kudhihirika Na Simsikitiki Ali Abdallah Sawaleh Mpaka Nijipendekeze Kwa Makosa Yake Na Nampa Fatwa Kwa Haki Kuwa Siyasa Yake Imifeli Na Atafika Njiya Imifungika Kwa Sababu Kutumiya Ovyo Hazina Ya Betulmal Ya Waislamu Kwa Viongozi Ambao Hawamchi Allah Mola Mlezi Wa Walimwengu..

Na Hivo Hivo Al'Imam Al'Mahdi Wa Haki Hafanyi Thaura ya Kudhihirika La Yemen Wala Katika Sudiya Wala Katika Taifa Lolote Katika Mataifa Ya Ulimwengu Bali Analinganiya Watu Kwa Mazungumzo Na Bada Ya Kusadikisha Atatoka Kutoka Yemen Adhihirika Kwenye Nymba Ya Zamani Kwajili Ya Kupewa Beyaa Ju Ya Haki Na Kupokea Ukhilafa Kutoka Viongozi Wote Wa Mataifa Ya Kislamu Na Wakikata Viongozi Wa Mataifa Ya Kislamu Na Mataifa Yote Ya Binadamu Kukabidhisha Ukhilafa basi Natowa Qasam Kwa Mola Mlezi Wawalimwengu Atanidhihirisha Allah Ju Yao Na Wao Ni Wanyonge.

Na Hio Hapo Tunaondosha Kufungiwa Kwa Abi Ja3far Mara Ya Pili Huwenda Akpata Adabu Akajadili Na Ilmu Basi Subra Subra Ewe Msimamizi Wa Meza Ya Mazungumzo Al'Huseyin Ibnu Omar,Na Salam Ju Ya Mitume,Na Alhamdulillah Rabilalamin..

Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
____________________

https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=1674]